Bwn. Kambira Mapesa ambaye alikua kiongozi wa kikundi cha nyimbo za injili la kanisa la Adventist Magomeni nchini Tanzania miaka ya nyuma, akiwa ameingia kwenye nyumba ambayo waliokuwa wanafunzi wake aliokua akiwafundisha kwaya wakimlaki kwa furaha baada ya wanafunzi hao ambao kwa sasa wanaishi nchini Marekani na wamekuja mjini Cedar Rapids kwa ajili ya kujumuika nae kwenye ndoa na sherehe ya harusi yake itakayofanyika mjini humo.
Wanakwaya wa kikundi cha Tanzania Advenist in the USA TAUS) wakimlaki bwana harusi mtarajiwa aliyekua kiongozi wa kundi lao la kwaya za nyimbo za injili tangia Tanzania.
Furaha ya kumlaki bwana harusi
Kikundi cha kwaya ya TAUS kikifanya mazoezi ya pamoja kujiandaa na ibada ya misa ya harusi ya Bwn. Kambira Mapesa itakayofanyika mjini Cedar Rapids, Iowa.
Kikundi cha TAUS wakishauriana jambo wakati wakifanya mazoezi ya nyimbo za kikundi chao ambao kila mmoja wao wametoka majimbo tofauti kuja maalum kusherehekea harusi ya aliyekua mwalimu wao wa kwaya nchini Tanzania.
Mmoja ya mwimbaji akipata ukodak wa upendeleo.
Mazoezi yakiendelea hapa ukitafutwa wimbo kwenye simu
No comments:
Post a Comment