ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, March 27, 2010

Mpango mpya wa silaha Urussi na Marekani


 U.S. President Barack Obama (L) and Russian President Dmitry Medvedev hold their press conference after the signing ceremony of the Joint Understanding on Strategic Arms Reduction at the Kremlin on July 6, 2009 in Moscow, Russia. The aim of the summit was to come to an agreement on reducing both countries' stockpiles of nuclear warheads, as well as to improve relations between the United States and Russia.
Rais Barack Obama(shoto) na Rais Dmitry Medvedev

Rais Barack Obama na Rais Dmitry Medvedev wamekubaliana juu ya mkataba mpya wa kupunguza silaha za nuclear baada ya miezi kadhaa ya majadiliano.
Makubaliano haya yanaashiria hatua muhimu ya sera za nje kwa rais Obama. Haya ni makubaliano ya kwanza ya kina kuhusu silaha za nuclear, tangu makubaliano yajulikanayo kama START yaliyofikiwa mwaka 1991.
Upunguzaji wa silaha katika makubaliano haya si mkubwa, lakini ni muhimu. Pande zote mbili zitasalia kuwa na silaha nyingi.
Lakini makubaliano haya mapya ambayo yatatiwa saini mjini Prague yanaashiria hatua ya kwanza katika mipango ya rais Obama ya kudhibiti silaha.

No comments: