ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, June 19, 2011

Nigeria U23 v Tanzania U23

Mpira umekwisha Nigeria wameshinda kwa goli 3-0 goli la kwanza limefungwa kipindi cha kwanza kunako dkk 5 kwa kichwa na Ekigho Eliusum na goli la pili kunako dkk 56 na Ganiyu Osemi  na goli la tatu limefungwa kunako dkk za nyogeza na Ahmed Musa 

No comments: