ANGALIA LIVE NEWS
Thursday, August 11, 2011
DALA DALA MBEYA ZAPADISHA NAULI KITUO HADI KITUO SH 1000 KISA MAFUTA HAKUNA
Dala dala za Mbeya zimepandisha nauli kutoka sh 300 mapaka sh 1000 kituo hadi kituo sababu ni kukosekana huduma ya mafuta katika vituo vyote vya mbeya
Hiki ni kituo cha mafuta cha BP Mbeya toka juzi wanasema hawana mafuta
Picha na-Mbeya yetu Blog
1 comment:
Unknown
said...
duu,, kazi kweli ipo....pole zao wasonauwezo wamuongezeko wa nauli hizo!!
August 11, 2011 at 11:37 AM
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
duu,, kazi kweli ipo....pole zao wasonauwezo wamuongezeko wa nauli hizo!!
Post a Comment