ANGALIA LIVE NEWS

Friday, November 18, 2011

MATANGAZO MUHIMU

Kwa; Wanandugu
 
Napenda kuwakumbusha nyote mkutano wa uchaguzi mkuu wa UTNC,utakao fanyika tarehe 26 November. kuanzia saa kumi na moja jioni. Nyumbani kwa Lucas na Anna katika anuani ifuatayo;1809 hunters forest drive,Winston-Salem, NC 27103.
 
NB;Baada ya uchaguzi, tutakuwa na fundraiser ya ndugu yetu Freddy Chagula.
Tunaomba kila mmoja wetu ajitahidi kushiriki.
 
Kwa atakaye shindwa kuja,anaweza akatanguliza mchango wake.
Bremer;atatuma taarifa zaidi za kufikisha michango yetu.
 
Nassor Ally,Chairman
UTNC & TCLA
P.O.Box 52531
Durham,NC 27717
 
UTNC GENERAL ELECTION OCTOBER 26,2011
 
 
Maendeleo ni haki ya wenye kuyapigania, hayaji
bila nguvu za makusudi na zenye muelekeo.
Shirikiana na wenzio kwa kuijenga jamii yako

No comments: