Hatuna viongozi TZ. Ni mtandao wa majambazi/mafisadi- what ever you wana call it. Hii yote inatokana na ubinafsi mtu/watu wanalinda kibarua chao at any cost.Kuliko mwandishi wa-habari atuonyeshe kinachotokea ni afadhali wamuuwe. Daah! Hivi ndio mzazi au ndugu yako anauwawa hivi sijui kwakweli inaitaji moyo wa ziada wa uvumilivu. No matter what; I know God is watching na iko siku tu!
WATASEMA NI 'KITU KILICHORUSHWA' NA WATAUNDA TUME YA KIPOLISI KUCHUNGUZA KIFO HICHO. LAKINI WAJUE KUWA MUNGU NI WA WOTE.NA UKWELI HUJA MWISHONI. POLENI SANA WANAFAMILIA WA NDUGU YETU MWANGOSI, MUNGU AMETOA NA POLISI WAMETWAA. JINA LAKE LITUKUZWE.
3 comments:
INASIKITISHA SANA, TZ YA SASA NA TUNAKOELEKEA SIO KUZURI, DO WE HAVE LEADERS...?REALLY????
Hatuna viongozi TZ. Ni mtandao wa majambazi/mafisadi- what ever you wana call it. Hii yote inatokana na ubinafsi mtu/watu wanalinda kibarua chao at any cost.Kuliko mwandishi wa-habari atuonyeshe kinachotokea ni afadhali wamuuwe. Daah! Hivi ndio mzazi au ndugu yako anauwawa hivi sijui kwakweli inaitaji moyo wa ziada wa uvumilivu. No matter what; I know God is watching na iko siku tu!
WATASEMA NI 'KITU KILICHORUSHWA' NA WATAUNDA TUME YA KIPOLISI KUCHUNGUZA KIFO HICHO. LAKINI WAJUE KUWA MUNGU NI WA WOTE.NA UKWELI HUJA MWISHONI. POLENI SANA WANAFAMILIA WA NDUGU YETU MWANGOSI, MUNGU AMETOA NA POLISI WAMETWAA. JINA LAKE LITUKUZWE.
Post a Comment