Advertisements

Wednesday, April 17, 2013

Lulu afanya party ya kutimiza miaka 18


Keki
Mwigizaji Elizabeth Michael (Lulu) ambae kwa sasa yuko nje kwa dhamana kutokana na kesi inayomkabili ya kuua bila kukusudia, amefanya party kwa ajili ya siku yake ya kuzaliwa April 17 ambapo aliandika hivi kuhusu umri wake kwenye hii picha yake yake iliyopo Instagram.

Which means, “No more questions…no more answers..no more lies…no more drama,” ameandika kwenye moja ya picha alizopost kwenye akaunti yake ya Instagram.
Msosi wa nguvu pale kati
Msosi wa nguvu pale kati
Keki ya mtoto aliyezaliwa jana

Jana muigizaji huyo ametimiza umri wa miaka 18 na kualika watu wa karibu kufurahi naye pamoja kwenye sherehe hiyo iliyofanyika takriban miezi mitatu atoke mahabusu kwa dhamana kutokana na kesi ya kumuua bila kukusudia muigizaji mwenzie aliyekuwa mpenzi wake, Steven Kanumba.
Lulu akiwa na rafiki wa karibu
kwa picha zaidi bofya read more
Rafiki

Miongoni mwa waalikwa kwenye party hiyo alikuwa ni hitmaker wa Singe Boy, Ali Kiba.
Lulu na Ali Kiba
the Bday girl
“Thank u ma pipo….!!!I won’t stop saying dic word….!!!Thank you soooo much,” aliandika kwenye picha nyingine.
Ali KIba akiwa na mama yake Lulu
Lulu akiwa na Dr Cheni ambaye anamchukulia kama baba yake
Officially 18…
Waalikwa
Happy birthday Lulu.

4 comments:

Anonymous said...

what happened to her face?

Anonymous said...

Be very Careful Lulu. These Kind of Agressive Facial Expresion Pictures Can be Use Against you at Court. Remember you still have a Charge Pending. Prosecutors are Watching you to make their Case Easier baby Girl.

Anonymous said...

usimsahau marehemu kanumba ndo aliyokufikisha hapo ulipo na kutanua

na kuwa huru hivi sasa

Anonymous said...

haya mama miaka 18 mara mbili ...tunaloooo...