waliojifunga hijabu ramadhani inakuja mmejianda siyo kwenda kwenye maparty na hijabu zenu, si bora mngezivua jamani muogopeni mungu kama kweli waislamu
What the hell are you talking about hijab? Hijab ni mavazi ya watu wenye asili ya kiarabu, na kila mtu ana maamuzi yake nini cha kufanya!!!!!!!!!!!!!!!Get a life loser!!!!!!!!!!!!!! Ramadan kafunge wewe na familia yako@!!!!!!!!!!!!!!Wewe ni nani kumwambia mtu kuhusu Ramadan, nenda elezea kwa familia yako sisi hapa kila mtu kaja na nauli yake. Kukaa USA sote sio jamaa bali ni watu wa kutoka nchi moja. Tuheshimiane!!!!
9 comments:
mrs aj yuko wapi jamani sijamuona kwenye party hii angekuwepo ingenoga
waliojifunga hijabu ramadhani inakuja mmejianda siyo kwenda kwenye maparty na hijabu zenu, si bora mngezivua jamani muogopeni mungu kama kweli waislamu
haleluyah lawd have mercy!
Ebrah mbona uko pembeni wangu?
utuwekee na video za mchana,ilikuwa offair siku hiyo hatukuona live.mdau jpn
Hongereni sana jamani Mungu ni mwema Praise Lord Jehovah!!!!
What the hell are you talking about hijab? Hijab ni mavazi ya watu wenye asili ya kiarabu, na kila mtu ana maamuzi yake nini cha kufanya!!!!!!!!!!!!!!!Get a life loser!!!!!!!!!!!!!! Ramadan kafunge wewe na familia yako@!!!!!!!!!!!!!!Wewe ni nani kumwambia mtu kuhusu Ramadan, nenda elezea kwa familia yako sisi hapa kila mtu kaja na nauli yake. Kukaa USA sote sio jamaa bali ni watu wa kutoka nchi moja. Tuheshimiane!!!!
shilolee upo juu vibaya luka umecheza kama pele umewatoa watu jasho kiuno mfupa hamna mweee
Masanja should come again by popular demand!!!!he was hillarious
Post a Comment