| Rais Jakaya
Mrisho Kikwete akiongea kwa furaha na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda,
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi pamoja na
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe John Sitta, Makamu Mwenyekiti
wa Bunge hilo Mhe. Samia Suluhu Hassan, Katibu wake Mhe. yahaya Khamis
Hamad na Naibu Katibu Dkt Thomas Kashilia na Mawaziri Mhe John Lukuwi na
Mhe. Aboud, baada ya zoezi la kuwaapisha Katibu na Naibu Katibu wa
Bunge Maalum lililofanyika Ikulu ndogo mjini Dodoma leo Machi 14, 2014.
(picha: IKULU) |
No comments:
Post a Comment