JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA NISHATI NA MADINI
TAARIFA YA UMMA
UTEUZI WA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI YA PUMA ENERGY (T) LTD NA WAKURUGENZI WA BODI
amewateua wafuatao, kuwa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya PUMA Energy (T) Ltd kwa kipindi cha miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 1 Machi, 2014:
- Mhandisi Dkt. Malima MP. Bundara, Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha GARETRACE;
- Bw. Solomon R.M. Odunga; Katibu Mkuu Mstaafu;
- Bw. James Andilile, Kamishna Msaidizi wa Nishati katika Wizara ya Nishati na Madini; na
- Bw. Daniel N. Nsanzugwanko, Mtaalam Mshauri wa masuala ya biashara.
Imetolewa na
KATIBU MKUU
No comments:
Post a Comment