ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, April 13, 2014

MECHI LEO JUMAPILI HII HIYO YOTE NI KUJIANDAA NA MCHEZO WETU NA DC MEMORIAL WEEKEND

DC kuifunga New York ni sawa na Sungura kumkaba Kobe....!!! 
Our first game this Sunday is at 3:30pm NYATI SQUAD vs DP.Cuatla
PLEASE LET'S SHOW UP ON TIME WITH FULL GEARS..
Bring your contribution for those who haven't paid yet..at least $20.00 each person...
We need $450.00 but we only have $300.00 so far...please show ur support.
SUNDAY IT IS ON...!!!

15 comments:

Anonymous said...

Hey Ibra, huyo demuni nani? Nimempenda

Anicetus said...

Vaa uniform- nenda kiwanjani- utamuoana- hakikisha una insuarance ya maisha.

Temba

Anonymous said...

bilal senior naye hayuko nyuma big up bwana mzeee kumekucha dj tahir ha ha ha

Anonymous said...

insurance ya maisha si inatoka kwa mungu amaaa
haina noma kama mali yako bwana mkuu nakuachia mwenyewe okay japo kuwa mimi niko full packaged sema macho tu ndo yamependa kuona kizuri

Anonymous said...

usiuize mademu wa watu wewe hujui ukivamia utavamikiwa na kuzimikiwa shauri yako new york kila mtu na wake na hata wa mwenzake pia wake

Anonymous said...

Onyesheni manjonjo yenu DC hamtuwezi! Pana wakali hapa!!

Anonymous said...

Hizi t-shirt vipi za timu peke yao..au na wengine tunawezapata? Bei na wapi zinapatikana , tuambizane basi.....nimezipenda.

Anonymous said...

DC jiandae, chezea NYC........

Anonymous said...

dj luke basi tafadhali mkuu angalia hizi comment zinginewe haziendani kabisa na hii picha naja ume copy na kupaste tena hii picha lakini hizi comment watu tumeshaziona zamani sasa bado zipo come on man

Anonymous said...

jezi zinapatikana kwa dola 20..ubalozini new york ulizia kocha

Anonymous said...

Mimi nataka jezi kama kunazo za kike na pia tracksuit kama wametengeneza za kike pia...Waweke online tunune kwani wote tunaishi NY?

Anonymous said...

Nahitaji Hilo jacket. Medium name jersey medium pia post naomba contacts nijue nalipaje plzzz dj luke

Anonymous said...

Mwanamke mmoja kuonekana kwenye picha mshataka kumjua mbona wanaume hamja ulizia nyie kweli mna?basi tu

Anonymous said...

tuwaulize wanaume wa nini wakati na sisi wanaume?wewe vipi?unadhani sisi mchele mchele?sisi vidume vya shoka tunaulizia wanawake hata kama mmoja na si vidume wenzetu wa nini wakiwa wanawake ndo wawaulizia vidume wewe vipi mtoa mada wa mwisho huna fikra

Anonymous said...

Wewe inabidi tukutafutie vimexico make inaonekama toka ufike ujapata