Jumuiya ya watanzania
Columbus Ohio
01, August 2014
Kwa niaba ya mwenyekiti na uongozi wa jumuiya
ya watanzania Ohio. Tunapenda kuwafahamisha watanzania wote waishio Ohio. Uongozi
umesogeza tahere ya kuandkishwa Kwa wanachama wapya mpaka tarehe 20, august
2014. Kwa wale wenye nia na ari ya kujiandkisha fomu zinapatikana kwenye
mtandao wa jumuiya, pia unaweza kuwasiliana na viongozi wafuatao
Mwenyekiti
Deo Mwalujuwa
Katibu
Kibibi
kondo Lowery
(614)592-9536
Wajumbe
Eliud Mashambo -(614)707-9353
Michael Mngodo -(614)917-0722
Vera Teri -(937)408-6116
Allan Rwabutaza - (614) 962-3718
Martin (Babu Tin).Canton Ohio - (330)412-4979
Tafadhali
utakapopata ujumbe huu mtaarifu na mwenzako kwani
“UMOJA
NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU”
UONGOZI
No comments:
Post a Comment