Advertisements

Tuesday, December 16, 2014

FURSA YA WADAU KATIKA SEKTA YA TAMTHILIA NA FILAMU


Hii ni fursa ya wadau katika sekta ya tamthilia na filamu, wakiwemo watayarishaji chipukizi na wakongwe kuongeza ujuzi wao.

Mafunzo hayo ni ya muda mfupi. Baadhi ya vitu vitakavyo fundishwa ni pamoja na 

SCRIPT WRITING - WIKI 4
Uandishi wa filamu, Screenplay au script ni kazi inayoandikwa na screenwriters kwa ajili ya filamu, video game, au vipindi vya televisheni. 

VIDEO EDITING - WIKI 4
ni mchakato wa kuhariri picha tofauti za video ili kukamilisha simulizi. Pia uweka special effects na kurekebisha sauti wakati wa post-production 

CAMERA OPERATIONS - WIKI 4
Katika filamu, anaitwa cinematographer, kwenye uzalishaji wa video anajulikana televisheni kamera operator, mtu huyu kulingana na mazingira na teknolojia ni wataalamu wa kamera 

FILM DIRECTING - WIKI 4
Ni mtu ambaye anaongoza maamuzi ya filamu. Ni mdhibiti wa filamu na wasanii kwa kuhakiki script inafuatwa kwa kuwaelekeza technical crew na watendaji katika kutimiza maono hayo.

Chuo kinapatikana maeneo ya Mikocheni B, karibu na kituo cha Polisi au wasiliana nasi; +255714 421188+255777919918E-mail:- tanzaniaschoolofcreativemedia@gmail.com

No comments: