Advertisements

Friday, May 1, 2015

RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO NA TUCTA


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea tuzo maalumu toka kwa Gratian Mukoba, Rais wa Shirikisho la
Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) wakati wa kilele cha Mei Mosi Uwanja wa CCM Kirumbna jijini Mwanza leo mei 1, 2015.

Picha na IKULU

No comments: