Mgombea
urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akipanda ngazi kwa
kukimbia kwenda jukwaani kujinadi kwa wananchi katika mkutano wa kampeni
kwenye Uwanja wa Taifa mjini Kibondo, Kigoma
Wananchi wa Kasulua wakifuatilia mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Umoja Kasulu,
Kigoma,ambapo Mgombea Urais wa CCM Dk Magufuli aliwahutubia.
Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Joseph Magufuli
akiwahutubia wananchi wa Kibondo ndani ya uwanja wa Taifa mkoani Kigoma
jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi kwa
wananchi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Taifa, Kibondo,
Kigoma.Akihutubia kwa nyakati tofauti, katika mikutano
ya kampeni zake mkoani Kigoma, amekuwa akihimiza kudumisha amani nchini
ambapo pia aliwataka viongozi wa kisiasa kuhubili suala hilo katika
mikutano yao.
Dk
Magufuli akiwanadi Daniel Nsanzugwako (kulia) anayegombea ubunge
kupitia CCM katika Jimbo la Kasulu Mjini na Agustino Zuma Ole anayewania
ubunge jimbo la Kasulu Kusini kupitia chama hicho
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi kwa
wananchi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Umoja Kasulu,
Kigoma
Wananchi wa Kasulu wakimshangilia
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli alipokuwa
akijinadi na kuomba ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha awamu ya
tano,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Umoja
Kasulu,
Kigoma.
PICHA NA MICHUZI JR-KIBONDO-KIGOMA
No comments:
Post a Comment