Monday, January 11, 2016

TWO KENYAN WOMEN FIGHT OVER A MAN AT A FOOTBALL TOURNAMENT IN kENYA

Wonders shall never end, Sometimes you wonder if some women learn their lessons and who fights for a man at this time and age?. A man that genuinely like a lady will never put her in a position where she has to fight over him.  Well  according to various reports, the two women started hurling insults at each other over a man and before anyone could say jack, a fight ensued. The incident happened over the the weekend during a Football tournament at the Ziwani Ground, Nairobi. 




4 comments:

Anonymous said...

huyo mume/bwana ni malaika ana mashine ya almasi au dhahabu inayowapa raha sana hawa watu hakuna bwana/mume mwingine aliyenayo ila yeye. mwaaafyuuuuu!!!! aibu iliyoje kwa mwanamke yeyote katika karne hii kupigania bwana.bwana ghani bwana wa mabwana huyo.

daima wanawake mtakuwa nyuma kwa style hii na kuwaacha wanaume wakikuchekeni kila siku.mnajidhalilisha.stop kujidhalilisha ewe mwanamke kwa bwana wa aina yeyote.anapo cheat huwa hakupendeni.jifunzeni kujipenda wenyewe.

ni aibu kwa dada zetu,mama zetu na mabinti zetu kujidhalilisha hivi.
stop and stop and stop period.wanaume wastarabu wenye upendo wa kweli mbona tupo wengi kuliku mnavyofikiria. njoeni kwangu mmoja wenu.i will love you and treat like a lady supposed to be treated.

Anonymous said...

nyari women wonders never ceased
the even box men ask Kenyan they will tell you about this,if you marry a nyarii women you know that you married a boxer a fighter more than mike Tyson ha ha ha

Anonymous said...

Mmmhh! 2026!!!! Shame on you!

Anonymous said...

Nakubaliana kabisa na mdau wa mwanzo kabisa,wanawake wacheni kujidhalilisha,jifunzeni kujipenda,unagombania bwana wa nini??????mume/boyfriend kama anatabia ya kucheat mara kwa mara means hana interest na wewe so you need to move on that's not the end of life,wanawake amkeni jamani,mambo ya kizamani ya kupigana kisa mwanaume,