Advertisements

Tuesday, February 16, 2016

Supastaa Hasheem Thabeet yu Wapi?


Kama watanzania wazalendo tulifurahia sana ufiko wa kilele cha mchezo wa kikapu wa mbongo mwenzetu huyu.

Ni mafanikio makubwa naweza kuyaita kwa upande wa burudani na michezo kwa hatua aliyofikia Hasheem!
Ni masikitiko yangu kwamba simuoni kwenye maHeadline ya michezo na burudani kwa ujumla!
Yu wapi huyu supastaa na afanya nini sasa aliko!?
Kwa wenye data zake wakuu, mimi nashabikia sana wabongo watuwakilishao vyema Internatianale!!

11 comments:

Anonymous said...

Yupo d- league anachezea Detroit team,Hawezi NBA kiwango chake kidogo.kama hajaweka millions zake za mwanzoni basi fainali.

Anonymous said...

Kwani huyu ni super star wapi? kuanzia lini?

Anonymous said...

Mdau, ninaye rafiki ambaye anayajua sana mambo ya NBA hapa Marekani. Niliambiwa kuwa huyu kaka alisukumwa kwenda kuchezea NBA daraja la pili au D-league kwa msimu uliopita. Naona hakufanya vizuri huko alikopelekwa na yaelekea hata D-league ameng'olewa. Labda kwa sasa yupo busy kulea familia yake, lakini nina imani atapata fursa nyingine ya kucheza angalau hata kwenye ligi za ulaya au Uchina, kama atajituma kwa bidii (work ethics) kama wachezaji wengine.

Unknown said...

Alileta ubishoo, ubraza mwingi wakati bado alikuwa hajafanikiwa

Anonymous said...

Du! D - Laegue? Ana okay kuringa mwenyewe! Siku moja nimemkuta pale airport. Basi nikajitia kwenda kumsalimia Mtanzania mwenzagu: alivonikaushia mimi mwenewe nilikimbia. "Niko busy, naongea na simu"! Kachukua simu yake na kuanza kupiga wongo! Binadamu!

Anonymous said...

Tafuteni kwanza $&$ mengine ziada. Ya Ngoswe mwachie Ngoswe. MYOB.

Anonymous said...

Majungu haya. "Shame on you", Vijaimambo.

Anonymous said...

His done

Anonymous said...

Bomu ilo

Anonymous said...

Jipu hili

Anonymous said...

why shame on vijimambo and not on the subject matter?