Advertisements

Saturday, August 20, 2016

MAZISHI YA BI SHAKILA SAID YAFANYIKA MBAGALA CHARAMBE JIJINI DAR LEO

Mwili wa marehemu Bi Shakila ukiswaliwa tayari kwa maziko 
Waombelezaji wakiwa wamebeba Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Bi Shakila wakielekea mazikoni,jioni ya leo huko nyumbani kwake Mbagala Charambe, jijini Dar. 

Safari ya mwisho ya Bi Shakila Said .
s Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la Bi Shakila Said,wakati wa maziko huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar .
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akiweka udongo kwenye kaburi la Bi Shakila Said,wakati wa maziko huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.


Mwili ya Bi Shakila tayari umeishapumzishwa kwenye nyumba yake ya Milele.

CHANZO: MICHUZI BLOG

No comments: