Mwili wa marehemu Bi Shakila ukiswaliwa tayari kwa maziko
Waombelezaji wakiwa wamebeba Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Bi Shakila wakielekea mazikoni,jioni ya leo huko nyumbani kwake Mbagala Charambe, jijini Dar.
Safari ya mwisho ya Bi Shakila Said .
s
Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la
Bi Shakila Said,wakati wa maziko huko nyumbani kwake Mbagala
Charambe,jijini Dar .
Waziri
wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akiweka udongo
kwenye kaburi la Bi Shakila Said,wakati wa maziko huko nyumbani kwake
Mbagala Charambe,jijini Dar.
No comments:
Post a Comment