Advertisements

Tuesday, August 23, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WA NCHI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Italia hapa nchini Roberto Mengoni Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi wa Italia hapa nchini Roberto Mengoni mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Italia hapa nchini Roberto Mengoni akisaini kitabu kabla ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea hapa nchini Kim Yong Su mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea hapa nchini Kim Yong Su mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Somalia hapa nchini Mohammed Hassan Abdi mara baada ya kuwasili Ikulu kwa ajili ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Somalia hapa nchini Mohammed Hassan Abdi mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ireland hapa nchini Paul Sherlock Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Balozi wa Ireland hapa nchini Paul Sherlock mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Balozi wa Ireland hapa nchini Paul Sherlock mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimsindikiza Balozi wa Ireland hapa nchini Paul Sherlock mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU.

No comments: