Tetemeko la ardhi limetokea katika
enao la kati la Italia na kuuwa watu wapatao 10 na wengine kadhaa
wamefunikwa na vifusi.
Mtu akiangua kilio akiwa juu ya kifusi cha jengo lililoanguka
Polisi na vikosi vya uokoaji vikiwa vimeubeba mwili wa mtu
No comments:
Post a Comment