Advertisements

Saturday, August 20, 2016

WAZIRI MAHIGA AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA JAPAN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (kulia) akizungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Japan, Mhe. Balozi Junzo Fijita aliyetembelea katika ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Agosti, 2016. 
Balozi wa Japan nchini, Mhe. Masaharu Yoshida (kushoto) pamoja na Afisa aliyefuatana naye wakifuatilia mazungumzo.
Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki (kushoto) pamoja na Afisa Mambo ya Nje, Bi. Bertha Makilagi wakifuatilia mazungumzo. 
Mazungumzo yakiendelea 
Wakiagana mara baada ya mazungumzo

No comments: