Advertisements

Monday, October 31, 2016

RAIS MAGUFULI ATUA KENYA, ALAKIWA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE BI. AMINA MOHAMMED

Rais John Pombe Magufuli, akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Kenya, Bi. Amina Mohammed kwenye uwanja wa ndege kimataifa wa wa Jomo Kenyatta, jijini Nairobi leo Oktoba 31, 2016. Rais yuko nchini humo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. (PICHA NA MPIGA PICHAMAALUM)

No comments: