Advertisements

Tuesday, November 1, 2016

KINANA AKUTANA NA SPIKA WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akimkaribisha ofisini kwake Spika wa bunge la Afrika mashariki, Daniel Kidega, katika ofisi ndogo za makao makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Daniel Kidega, katika ofisi ndogo za makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam. 

No comments: