Advertisements

Saturday, May 6, 2017

OTOSIM 2017 BY MAKEKE NI MOTO WA KUOTEA MBALI

 Unapomuongelea MAKEKE si jina geni kwenye Tathnia ya mitindo Tanzania na Afrika kwa ujumla, Mwaka Jana alikuja na collection ya aina yake iliyoitwa TABID - The African Beauty in The darkness, ( uzuri wa afrika gizani) collection hio imefanya vizuri sana 2017/2017 kwan imeoneshwa kwenye Majukwaa mbalimbali makubwa ya Mitindo.

Lakini mwaka huu mwanamitindo huyu asiyeishiwa MAKEKE amekuja na kitu kipya kabisa, kinaitwa OTOSIM2017 - ON THE OTHER SIDE OF MAKEKE, akiwa na maana ya ladha/ubunifu  Wa aina Nyingine, kwa Mara ya kwanza OTOSIM imeonyeshwa kwenye jukwaa kubwa la ZANZIBAR SWAHILI FESTIVAL  mwezi uliopita na kufanya maajabu makubwa jukwaani, nafkiri kwa watu waliokuwepo pale walijionea utamu Wa show hio  ya Ki - MAKEKE, msanii huyu Wa mitindo ameahidi mambo mengi matamu kwa mwaka huu 2017, tuendelee kusubiri.








No comments: