Advertisements

Tuesday, July 4, 2017

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kuteuliwa, Mama Salma Kikwete kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 4, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungungumza na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ambaye pia ni Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni, 4, 2017.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mufindi Kusini, Medard Kigola kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Viti Maalum, Faida Bakari kwenye Jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Msalala, Ezekiel  Maige (kulia) na Mbunge wa Bukene,  Selemani Zedi kwenye Jengo la Utawala la Bunge Mjini Dodoma Julai 4, 2017. 
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge, Abdallah Ulega wa Mkuranga  (kushoto) na Stephen Masele kwenye Jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Julai 4, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega kwenye Jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Julai 4, 2017.

No comments: