Tuesday, March 12, 2013

MJADALA UGHAIBUNI, ELIMU TANZANIA SEHEMU YA PILI

MJADALA 2 from Luke Joe on Vimeo.
Sehemu ya pili ya WanaDMV wafanya mjadala wa kushuka kwa kiwango cha Elimu na matokeoa mabaya ya kidato cha Nne wakianza kuelezea Elimu zamani ilivyokuwa na nini kimesababbisha kuporomoka kwa Elimu Je nani alaumiwe na nini kifanyike kuokoa janga hili WASIKILIZE

No comments: