ANGALIA LIVE NEWS
Sunday, March 23, 2025
TANZANIA YAMNADI PROF. JANABI NAFASI YA MKURUGENZI WA WHO KANDA YA AFRIKA
.jpg)
MKUCHIKA ATANGAZA KUNG'ATUKA UBUNGE

MWALIMU JACOB MBUNDA AIBUKA MSHINDI WA UENYEKITI CWT NAMTUMBO


WARSHA YA USALAMA WA ANGA AFRIKA YAFUNGWA JIJINI DAR ES SALAAM

NBAA YATOA ELIMU SHULE YA SEKONDARI YA NGUVUMALI MKOANI TANGA
Saturday, March 22, 2025
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS SAMIA KWENYE HARAMBEE
CHIFU WA MBEYA ROCKETI MASOKO MWANSHINGA AKEMEA WANAPANGA KUZUIA WANANCH...
CHIFU WA MBEYA ROCKETI MASOKO MWANSHINGA AKEMEA WANAPANGA KUZUIA
WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI
Chifu wa Mkoa wa Mbeya, Rocketi Masoko Mwanshinga, amewataka wananchi wote wa mkoa huo
kutumia haki yao ya kikatiba kujiandikisha na kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa 2025.
Chifu Mwanshinga amekemea vikali wale wote wanaotaka kuwazuia wananchi kushiriki katika mchakato
wa uchaguzi, akisema Mungu atawapa usingizi na hawataweza kuzuia uchaguzi kufanyika.
Amesisitiza kuwa kila raia ana haki ya kupiga kura na kupigiwa kura bila hofu wala vizuizi vyovyote. A
idha, Chifu Mwanshinga amemuombea Rais Samia Suluhu Hassan apate ushindi wa kishindo, akisema kuwa uongozi wake umekuwa wa neema kwa Watanzania.
Amewataka wakazi wa Mbeya kuungana kwa mshikamano na kuhakikisha wanatekeleza wajibu wao wa kidemokrasia ili kuchagua viongozi watakaosukuma mbele maendeleo ya Tanzania.
Friday, March 21, 2025
ARUSHA FOOD SYSTEMS YOUTH LEADERS WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA CHAKULA MASHULENI

RIPOTI YA UFUATILIAJI WA UWAJIBIKAJI WA JAMII KATIKA MALEZI NA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO YAONESHA CHANGAMOTO KADHAA BABATI
RAIS DKT. SAMIA ACHANGIA SH. MILIONI 50 KUMUENZI PADRI SHIRIMA
Thursday, March 20, 2025
RAIS DK.HUSSEIN ALI MWINYI AKABIDHI SADAKA YA IFTAAR KWA WANANCHI WA MKOA WA KASKAZINI PEMBA
WAKOPAJI WAASWA KUTOTUMIA MALI ZA FAMILIA KAMA DHAMANA YA MIKOPO BILA RIDHAA
TANZANIA NA MISRI KUENDELEZA USHIRIKIANO KWENYE MIRADI YA UMEME -KAPINGA
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AMEPOKEA UJUMBE MAALUM KUTOKA KWA RAIS WA MISRI, IKULU NDOGO YA TUNGUU ZANZIBAR.
