ANGALIA LIVE NEWS

Monday, February 14, 2011

DK SLAA ATINGA BUNGENI DODOMA LEO-GPL

Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk.Wilbroad Slaa (kushoto) akisalimiana na Naibu kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni, Zitto Kabwe leo.

Dk. Wilbroad Slaa (kushoto) akisalimiana na Mbunge wa Vunjo-TLP,  Lyatonga Mrema, leo Bungeni mjini Dodoma.

Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa HAI- Chadema,  Freeman Mbowe (kushoto) akisalimiana na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid wakati wakipongezana baada ya kutangazwa baraza la mawaziri kivuli Bungeni Mjini Dodoma Leo.


Picha na Mwanakombo Juma - MAELEZO

No comments: