Rais Jakaya Kikwete akiagana na baadhi ya Masista watawa wa Kanisa Katoliki walioshiriki katika futari ambayo Rais aliwaalika viongozi wa dini mbalimbali, Ikulu ya Dar es Salaam(Picha na Freddy Maro)
1 comment:
Anonymous
said...
Kwa kweli anayetaka kuanzisha ugomvi wa dini nchini wetu hana akili na akijulikana adhibitiwe haraka sana. Hii kitu Rais anafanya inanipa faraja sana moyoni.
1 comment:
Kwa kweli anayetaka kuanzisha ugomvi wa dini nchini wetu hana akili na akijulikana adhibitiwe haraka sana. Hii kitu Rais anafanya inanipa faraja sana moyoni.
Post a Comment