Kwa niaba ya Francisca Mwaluli na Kwa niaba ya
Famila ya Mzee
Benedict Mwaluli wanapenda kutoa shukrani zao za pekee kwenu ndugu
Benedict Mwaluli wanapenda kutoa shukrani zao za pekee kwenu ndugu
na
jamaa wote wa New England kwa kuwa pamoja nae kwa hali
na mali katika maombolezo ya msiba wa mpendwa mwanawe
Kevin Linus Kaenga, kwani ni kipindi kigumu kinachowakabili.
na mali katika maombolezo ya msiba wa mpendwa mwanawe
Kevin Linus Kaenga, kwani ni kipindi kigumu kinachowakabili.
Hana cha kuwalipa zaidi ya kuomba Mwenyezi Mungu azidishe
baraka
zake kwenu kwa yote mnayotamani. anawashukuruni sana na muzidi
kuwa
na ushirikiano katika kila jambo.
Ahsanteni Sana.
No comments:
Post a Comment